Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Card B awatolea uvivu wanaotaka kuharibu ndoa yake

Cardi B Na Offset Card B awatolea uvivu wanaotaka kuharibu ndoa yake

Wed, 23 Aug 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Nyota wa muziki kutoka nchini Mrekani Cardi B, awatolea uvivu wanaotengeneza uvumi juu ya mume Offset wake kwa lengo la kuharibu ndoa yake.

Cardi B ameweka wazi kuwa wakili wake tayari amepeleka barua kwa mtu aliyetengeneza tattoo ya uongo kwenye mwili wa mtu asiyefahamika na kudai kuwa ni Offset kwa lengo la kumchafua mume wake ili aonekane amemsaliti na mwanamke mwingine.

Cardi B amesema kupitia mtu huyo mmoja ambaye amepokea barua atakuwa mfano kwa wote wanaomchafua katika mitandao ya kijamii kwani anaenda kushitakiwa.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live