Menu ›
Burudani
Sat, 5 Dec 2020
Chanzo: zanzibar24.co.tz
Mchekeshaji nchini Tanzania anaejulikana kwa jina la Chikumbalaga Sukariyao amewashangaza wengi baada ya kuanza kutembea na ‘bodyguard’ wake mtaani kama wanavyofanya baadhi ya wasanii.
Chikumbalaga Sukariyao amekutrend kwenye mitandaoni baada ya kushea picha hizo akiwa na bodyguard wake kwenye ukurasa wake wa Instagram.
Sukariyao ni mzaliwa wa Tunduma Mkoani Mbeya, amepata umaarufu kwa njia ya wasanii kumtumia kwenye upande wa kuchekesha pale anaposhea video na audio akizisapoti kwa kucheza au kuimba nyimbo za wasanii hao kisha kupost mitandaoni.
Chanzo: zanzibar24.co.tz