Menu ›
Burudani
Mon, 25 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii anayelipwa pesa nyingi barani Afrika Burna Boy, ameonyesha ufahari wake kupitia magari anayoyamiliki ya milioni nyingi za Dola.
Msanii anayelipwa pesa nyingi barani Afrika Burna Boy, ameonyesha ufahari wake kupitia magari anayoyamiliki ya milioni nyingi za Dola. Kwa sasa Burna anamiliki Rolls Royce mbili, Lamborghini mbili, Ferrari mbili, Mercedes Maybach mbili na zaidi na sio ufahari wa magari tu bali pia ndiye msanii anayelipwa pesa nyingi zaidi barani Afrika.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live