Menu ›
Burudani
Mon, 11 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Usiku wa kuamkia leo wakati Mwanamuziki Burna Boy akitumbuiza "State Farm Arena" Atlanta Marekani aliwashitua mashabiki zake waliokuwepo kwenye Show hiyo baada ya kumpandisha Jukwaani Mwanamuziki wa Marekani, Mrembo Toni Braxton kisha akatumbuiza naye Wimbo wa "Last Last".
Watu wengi walifurahishwa na Surprise hiyo kwani hawakutegemea kuwa Toni Braxton anaweza kutokea kwenye show hiyo.
Tukio hili limezidi kumjengea heshima kubwa Burna Boy kwani anazidi kuwa karibu na Wanamuziki wakubwa na wenye heshima kubwa Duniani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live