Menu ›
Burudani
Mon, 6 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa muziki kutoka Nigeria, Burna Boy amekuwa msanii wa kwanza kutoka Afrika kufikisha streams milioni 600 katika mtandao wa #Spotify kupitia Album yake ya 'Love, Damini'.
Album ya #Love, Damini ilitoka Rasmi Julai 8, 2022 chini ya Atlantic Records na imewakutanisha mastaa mbalimbali duniani kama Ed Sheeran, J Balvin, Khalid, Lady Smith, Black Mambazo, J Hus, #Vict0ny, #Popcaan, #Blxst na #Kehlani.
Ngoma gani unaikubali kutoka kwenye Album hiyo?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live