Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Burna Boy aanika ngoma iliyompa pesa nyingi

Burna Boy Nm Burna Boy

Wed, 20 Jul 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mkali wa Afro Fusion, supastaa Burna Boy ameutaja wimbo wake, "Last Last" kuwa ndio wimbo uliomuingizia mtonyo mrefu zaidi kuliko wimbo wake wowote ambao amewahi kuutoa. Burna amefunguka hayo kwa mara ya kwanza kupitia Sneakers show.

Hata hivyo, asilimia 60 ya mapato yanayotokana na wimbo huo "Last Last" yanaenda kwa Toni Braxton na yeye kusalia na asilimia 40 tu kwa sababu amesample wimbo "He Wasn't Man Enough" wa msanii huyo wa Marekani.

Ikumbukwe, "Last Last" ni wimbo unaopatikana kwenye album mpya ya Burna Boy iitwayo 'Love Damini' iliyotoka Julai 8, mwaka huu.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live