Menu ›
Burudani
Sat, 7 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki wa Nigeria 'Brymo' amemshutumua The African Giant 'Burna Boy' kuwa sio mbunifu, na badala yake amejificha kwenye kivuli cha kuiba vijionjo kutoka kwenye ngoma za wanamuziki waliomtangulia kwenye gemu.
"Nadhani 'Burna Boy' ni mwizi, sio mbunifu na hana kipaji asili kabisa. Feki sana, Kila wimbo anaoachia ni sampuli au wazo lililoibiwa kutoka kwenye wimbo wa msanii mwingine" amepepeta maneno 'Brymo'.
Vipi mtazamo wako juu ya shutuma hizi?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live