Menu ›
Burudani
Fri, 22 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
DJ wa kimataifa, Brooke Bailey amesema anatongozwa sana na wanaume mtandaoni kutokana na uzuri wake!.
DJ wa kimataifa, Brooke Bailey amesema anatongozwa sana na wanaume mtandaoni kutokana na uzuri wake!. Aidha, Brooke amesifu kufanya kazi na supastaa wa Bongo, Diamond Platnumz akisema kuwa ni msanii mkubwa duniani baada ya kufanya naye kazi katika matamasha ya Afro Nation.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live