Menu ›
Burudani
Mon, 27 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii Wa Hip Hop Nchini Billnass ametangaza kuchia Smash Hit tarehe 30, mwezi huu akidai kwamba hajawahi kutoa ngoma kali wala Hit Toka aanze safari yake ya muziki.
Billnass kupitia ukurasa wake wa Instagram amethibitisha hilo kwa kusema kwamba wimbo wake mpya utaitwa Maboss.
“Hii Ngoma Ndio Itakuwa Hit Ya Kwanza,” - Billnass
Chanzo: www.tanzaniaweb.live