Menu ›
Burudani
Tue, 22 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wanandoa ambao pia ni wasanii maarufu wa Bongo Fleva, Billnass na Nandy wameeleza nia yao na kuzaa watoto mapacha ikiwa ni miezi kadhaa tangu wapate mtoto wao wa kwanza.
Kupitia moja ya komenti alizoziacha Hillnass kwenye post ambayo ali-share mke wake Nandy akimuuliza kuwa wataongeze mtoto mwingine.
#Billnass alijibu kuwa waongeze watoto mapacha kwani amechoka kumgombea mtoto mmoja.
"Sio mwingine, tuongeze wengine llease ikiwezekana mapacha, nimechoka Kumgombea huyu mmoja @officialnandy,"- alisema @billnass.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live