Menu ›
Burudani
Tue, 14 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa Bongofleva, Billnass amefunguka kwanini hadi sasa hajataka kuajiriwa licha ya kuwa na elimu ngazi ya degree upande wa usimamizi wa fedha.
Msanii wa Bongofleva, Billnass amefunguka kwanini hadi sasa hajataka kuajiriwa licha ya kuwa na elimu ngazi ya degree upande wa usimamizi wa fedha. Billnass amesema muziki unampatia fedha lakini kubwa zaidi unachukua muda wake mwingi, hivyo ni vigumu kupata na muda wa kuajiriwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live