Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Bill Nass ‘akata mzizi wa vitina’ kuhusu Alikiba

7453 Bill Nass Alikiba TZW

Fri, 4 May 2018 Chanzo: bongo5.com

Bill Nass anarudi kwenye headlines za kiburudani kwa mara nyingine tena, sasa hivi ni kuhusu yeye na Alikiba.



Rapper huyo ambaye anatamba na ngoma ‘Tagi Ubavu’ amefunguka kuhusu tetesi zilizodai kuna ngoma kati yake na Alikiba inakuja.

“Sitaki kuliweka sana hilo mbele ila watu wajue tunayo mahusiano mazuri kama nilivyo na mahusiano mazuri na wasanii wengine,” Bill Nass ameiambia Kikaangoni, EATV.

Utakumbuka Mr. Blue, Mwana FA na Godzilla ni miongoni mwa wasanii wanaofanya muziki wa rap ambao waliweza kumshirikisha Alikiba katika ngoma zao na aliweza kuzitendea haki kwa upande wa chorus.

Loading...
Chanzo: bongo5.com