Menu ›
Burudani
Thu, 22 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tajiri Bill Gates yupo nchini Nigeria kwa sasa, ametudokeza kwamba kipindi anajiandaa na ziara hiyo, binti yake aitwaye Phoebe alimwambia kwamba ana bahati kuitembelea nchi hiyo kwa sababu atakutana na Burna Boy pamoja na Rema.
Lakini Bill Gates anatukumbusha pia kwamba, mara ya mwisho alipokuja alipata nafasi ya kumuona Davido na Wizkid.
Je wasanii wetu wa Kibongo wanatambulika na wasikilizaji Kimataifa? Tuachie maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live