Menu ›
Burudani
Tue, 16 Aug 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shamsa Ford; ni staa wa Bongo Movies ambaye kama kawaida yake anaungana na baadhi ya mastaa wa kike Bongo ambao wamekuwa wakitangaza dau la mahari na dau la kuwapata ili kuwa nao kwenye mapenzi almaarufu udangaji.
Shamsa ambaye ni mama wa mtoto mmoja wa kiume aliyezaa na mwanaume aitwaye Dick na ni mke mstaafu wa mfanyabishara Chid Mapenzi amekuwa gumzo baada ya kudai kwamba, mwanaume ambaye hawezi kumuhonga shilingi milioni 10, basi asimsogelee.
Shamsa anasema; “Sihongwi chini ya milioni 10, mwanaume ambaye hawezi kunihoga asinisogelee…”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live