Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Bifu Linazidi Kupamba Moto, Diamond Am-Unfollow Harmonize

Mondi Harmo Harmonize na Diamond

Fri, 19 Nov 2021 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Siku kadhaa zilizopita miongoni mwa story kubwa ilikuwa kuhusu msanii na C.E.O wa Konde Music Worldwide Harmonize kumuondoa msanii na boss wake wa zamani Diamond Platnumz kwenye orodha ya wasanii aliowafuata (follow) kwenye ukurasa wake wa Instagram.

Sasa rasmi #Diamond Platnumz na yeye amemuondoa Harmonize kwenye orodha ya watu aliowafuata (following) kwenye ukurasa wake wa Instagram, amebakiza watu 1,140 aliowafata kwenye Instagram.

Hii imekuja ikiwa ni saa chache baada ya Harmonizekuongea na wanahabari katika Uwanja wa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere wakati akirejea kutoka Marekani na kueleza kilichosababisha yeye kuondoka katika Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB) iliyo chini ya Diamond.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live