Leo nimekuletea bifu takribani 30 ambazo ziliwahi kuwakumba wasanii mbalimbali wa muziki wa kizazi kipya nchini.
Kiasi cha kugonganisha vichwa vya wadau wa muziki na pengine kwa kiasi fulani kuukuza muziki wao au hata wengine kuchangia kuwapoteza kabisa kisanaa.
1. Sugu na Ruge
2. Clouds Media na Vinega
3. TMK Wanaume na East Coast Team
4. Juma Nature na Inspector Haroun
5. Zay B na Sister P
6. TMK Wanaume na Wanaume Halisi
7. Dudubaya na Mr Nice
8. Afande Sele na O Ten
10. Kikosi cha Mizinga na Nako 2 Nako
11. Roma na Joh Makini
12. Afande Sele na Professa J
13. Rado na Fid Q
14. Inspector Haroun na Luteni Karama
15. Kalapina na Chid Benz
16. Dogo Mfaume na Omari Omari
17. Sugu na Mwana FA
18. Mwana FA na Lady Jaydee
19. Diamond na Ali Kiba
20. Sholo Mwamba na Man Fongo
21. Afande Sele na Madee
22. Madee na Ney wa Mitego
23. Langa na Jay Moe
24. Kikosi cha Mizinga na baadhi ya Wasanii wa Hip Hop nchini
25. TID na Q Chilla
26. Bob Junior na Diamond Platinumz
27. P Funk na Professa J
29. P Funk na Clouds Media
30. Kalapina na Clouds Media.
Unaweza kuongeza pia orodha ya wasanii waliokuwa na bifu kupitia muziki wa kizazi kipya ambao nimesahau kuweka majina yao.