Menu ›
Burudani
Mon, 2 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwimbaji Beyonce ameimaliza ziara yake ya “Renaissance World Tour” jana Oktoba 1 huko mjini Kansas City, Missouri.
Queen Bey amepiga jumla ya show 56 kwenye miji tofauti tofauti duniani.
Hii ndio ziara kubwa na iliyotengeneza pesa ndefu kwa msanii wa Kike kwenye historia.
Beyonce ameingiza kiasi cha ($461.2 million) zaidi ya TSh. Trilioni 1.1 ambapo watu milioni 2.2 walihudhuria maonesho yake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live