Menu ›
Burudani
Tue, 12 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Ben Pol akizungumzia kifo cha Director Nisher kilichotokea usiku wa kuamkia leo.
Ben Pol ameiambia Mwananchi Scoop, taarifa ya kifo cha Nisher ameipokea kwa masikitiko makubwa sana, kwani walikuwa zaidi ya marafiki na anachokumbuka ni kuwa Nisher alikuwa mchapa kazi.
"Amendoka bado kijana kwa kweli imeniuma sana," alisema Ben.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live