Menu ›
Burudani
Tue, 16 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki wa #BongoFleva nchini #Beka Flavour ameweka wazi kuwa anatarajia kupata mtoto wa pili yeye na mpenzi wake #HappieeReuter.
Mwanamuziki wa #BongoFleva nchini #Beka Flavour ameweka wazi kuwa anatarajia kupata mtoto wa pili yeye na mpenzi wake #HappieeReuter. Kupitia ukurasa wa #Instagram wa msanii huyo ali-share video ya Happie ikimuonesha akiwa mjamzito ambapo alikuwa akimtakia kheri ya siku ya kuzaliwa huku akimshukuru kwa kumpatia zawadi nyingine ya pili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live