Menu ›
Burudani
Mon, 11 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
Wasanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Peter Msechu na Beka Flavour wamelaani kitendo cha wasanii wa tasnia hiyo kutohudhuria kwa wingi kwenye mazishi ya msanii mwenzio, Sam wa Ukweli.
Akizungumza na Bongo5 Peter Msechu amesema kuwa wasanii wengi ni wanafiki na hiyo ndio sababu na wanapenda sana bata kuliko matukio muhimu kama kuhudhuria klw enye misiba. Wasikilize hapa chini wakifungaka.
Loading...
Chanzo: bongo5.com