Menu ›
Burudani
Tue, 3 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa zamani wa ‘Soka’ David Beckham kutoka nchini Marekani ambaye kwa sasa ni Rais wa ‘Klabu’ ya Inter Miami ameweka wazi kuwa make-up artist wake siku zote ni binti yake mwenye umri wa miaka 12.
Kupitia ukurasa wa Instagram wa mwanasoka huyo wa zamani ame-share video akiwa na binti yake Harper Seven akiwa anampaka make-up kwa ajili ya kwenda kuhudhuria Victoria Beckham's fashion show jijini Paris.
Lakini licha ya sifa hizo kitendo cha Beckham kumbusu midomoni mtoto wake kimeacha maswali mengi kwa mashabiki wa Staa huyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live