Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Barnaba awakubali Makamua, Joslin

BARNABA Barnaba awakubali Makamua, Joslin

Fri, 24 Apr 2020 Chanzo: --

STAA wa Bongo Fleva, Elias Barnaba ‘Barnaba’, amesema mpaka sasa ndani ya muziki huo hawajatokea wasanii wenye uwezo mkubwa kama Makamua na Joslin.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Barnaba anayetamba na wimbo mpya, One In A Million alisema licha ya wasanii hao kuwa kimya kwa sasa lakini hakuna msanii aliyeweza kufikia viwango vyao.

“Ni wasanii ambao walikuwa na sauti za kipekee, kila walichokuwa wanakiimba kinaeleweka na mpaka sasa nyimbo zao ukizisikiliza utadhani zimetungwa jana, ni tofauti na wasanii wengi ambao kazi zao hupotea muda mfupi baada ya kutoka,” alisema Barnaba.

Chanzo: --