Menu ›
Burudani
Wed, 22 Jun 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa Bongo Fleva, @barnabaclassic amefunguka kwasasa hawezi tena kuwa na mahusiano na mtu maarufu kwa kile alichodai kuwa haitaji makelele.
Akifanya mahojiano na EFM, Barnaba amesema; "Nimewahi kudate na star takribani miaka 10 iliyopta siwezi kumtaja jina.
“Sipendi kudate na mtu maarufu maana mimi pia ni superstar na watu wanampenda sana #Barnaba na watu wananijua na kazi yangu ni makelele nikiwa kibaruani, studio, ofisini kote makelele, kwa hiyo sihitaji kurudi tena nyumbani nikutane na makelee,'' amesema Barnaba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live