Menu ›
Burudani
Mon, 2 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ikiwa leo ni siku ya kumbukizi ya kuzaliwa mwanamuziki Diamondplatnumz, baadhi ya watu wameendelea kumtakia kheri kwa maneno mbalimbali.
Ikiwa leo ni siku ya kumbukizi ya kuzaliwa mwanamuziki Diamondplatnumz, baadhi ya watu wameendelea kumtakia kheri kwa maneno mbalimbali. Kwa upande wa wanamuziki Barnaba Classic, amemtakia Diamond maisha marefu yenye baraka huku akimtaka aendelee kufungua njia katika tasnia ya muziki.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live