Menu ›
Burudani
Tue, 20 Oct 2020
Chanzo: millardayo.com
Arusha yamefanyika mashindano yakuendesha pikipiki yaliyopewa jina la Mwalimu Nyerere ambayo yameshirikisha zaidi ya waendesha pikipiki mia moja
Kwenye hii video hapa chini tumekuwekea jinsi washiriki walivyokuwa wanaendesha pikipiki ikiwemo vikwazo ambavyo wamevipitia kwenye mashindano hayo.
DOGO ANA MIAKA 13 LAKINI KAONGOZA KWENYE MASHINDANO YA PIKIPIKI ARUSHA “NIMEWACHAPA”
Chanzo: millardayo.com