Menu ›
Burudani
Mon, 15 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Meneja wa WCB na Tip Top Connection, Babu Tale ambaye alikuwa msimamizi wa Shilole katika harusi yake na Uchebe, amefunguka kuwafunda wawili hao kuhusu maisha ya ndoa. Tale amesema amtaka Uchebe kuhakikisha ana mnyoosha Shilole tararibu mpaka atakaa kwenye reli.
Meneja wa WCB na Tip Top Connection, Babu Tale ambaye alikuwa msimamizi wa Shilole katika harusi yake na Uchebe, amefunguka kuwafunda wawili hao kuhusu maisha ya ndoa. Tale amesema amtaka Uchebe kuhakikisha ana mnyoosha Shilole tararibu mpaka atakaa kwenye reli.
Chanzo: bongo5.com