Menu ›
Burudani
Thu, 23 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kutoka kwa Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki na Meneja wa Staa wa Muziki Diamond Platnumz, Babu Tale ametusanua kuwa kwa upande wa Afrika Magharibi, Msanii wa Hiphop anayemkubali zaidi ni Phyno kutoka Nchini Nigeria.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Ameshare Picha akiwa na Rapa huyo wakiwa The Galleria of Houston Kisha kuisindikiza na ujumbe...
"Huyu ndiye mwanamziki pekee wa hiphop ninayemkubali West Africa @phynofino."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live