Menu ›
Burudani
Fri, 5 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Familia ya mwanamuziki wa Nguza Vicking maarufu ‘Babu Seya’ leo Ijumaa imekutana na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza katika studio za muziki wa Wanene. Babu Seya ameongozana na mwanaye Johnson Nguza maarufu Papii Kocha na Micheal Nguza ‘Nabii Nguza.
Familia ya mwanamuziki wa Nguza Vicking maarufu ‘Babu Seya’ leo Ijumaa imekutana na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza katika studio za muziki wa Wanene. Babu Seya ameongozana na mwanaye Johnson Nguza maarufu Papii Kocha na Micheal Nguza ‘Nabii Nguza.
Chanzo: bongo5.com