Menu ›
Burudani
Thu, 11 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baba wa marehemu mwanamuziki Mohbad kutoka nchini Nigeria kupitia mahojiano yake ya hivi karibuni ameeleza kuwa aliyekuwa mke wa #Mohbad, Wunmi na wakili wake wanatishia kumuua.
Baba Mohbad, Joseph Aloba ameweka wazi suala hilo wakati akizungumzia kuhusiana na kuchelewa kwa majibu ya vipimo vya mwili wa mwanaye pamoja na #DNA na kueleza kuwa alipigiwa simu ya vitisho na #Wunmi ambapo amedai kuwa amerekodi kila kitu.
Ikumbukwe kuwa Marehemu #Mohbad alifariki Septemba 12, 2023 Ikorodu nchini #Nigeria.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live