Menu ›
Burudani
Wed, 17 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baba wa mwanamuziki kutoka nchini Marekani Drake, Dennis Graham,ameruhusiwa kurudi nchini Canada baada ya kumaliza adhabu yake.
Kupitia Insta story ya ‘rapa’ huyo ame-share picha ya baba na mama yake wakiwa pamoja na ameweka wazi kuwa baba yake ameruhusiwa kurudi nchini Canada.
Ikumbukwe kuwa baba yake na Drake alizuiwa kurudi Canada kutokana na masuala ya kisheria, hivyo kipindi chote cha mika 15 alikuwa akiishi Marekani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live