Menu ›
Burudani
Thu, 18 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtoto wa P Funk, Paula amesema alipomueleza kwa mara ya kwanza baba yake kuwa ana ujauzito wa Marioo, alimaindi sana.
Paula aliyasema hayo jana alipokuwa kwenye baby shower yake ambayo pamoja na kuhudhuriwa na mastaa mbalimbali alikuwepo pia P Funk.
"Nilipomueleza kwa mara ya kwanza kama ilivyo kwa wazazi wengine, alimaindi lakini hata hivyo baadaye alielewa," alisema Paula.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live