Menu ›
Burudani
Sun, 23 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchekeshaji na mtangazaji wa Wasafi FM, Baba Levo amesimulia jinsi alivyofumania baada ya kukutwa baa akiwa na mrembo wa watu.
Alisema, siku hiyo alikuwa amekaa baa na mrembo mmoja ndipo jamaa wake alipofika na jamaa wake na kuanza kumhoji maswali mpenzi wake.
“Alimuuliza yule dada huyu ni nani wako, mimi nilipomuangalia jamaa mwenyewe ni mdogo nikamchimba mkwara ndipo waliponivamia jamaa kama mia hivi, wakaanza kunipa kichapo kidogo nilipoona wapo wengi nikawa mpole,” alisema Baba Levo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live