Menu ›
Burudani
Mon, 12 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Baba Levo kuweka wazi kuwa tayari amemkatia RB Harmonize baada ya taarifa yake ya kuwa jana Usiku alimshambulia, sasa taarifa mpya aliyoitoa Baba Levo ni kuwa watakutana Mahakamani na Harmonize kabla ya Ijumaa.
Baada ya Baba Levo kuweka wazi kuwa tayari amemkatia RB Harmonize baada ya taarifa yake ya kuwa jana Usiku alimshambulia, sasa taarifa mpya aliyoitoa Baba Levo ni kuwa watakutana Mahakamani na Harmonize kabla ya Ijumaa. Baba Levo amesema anaamini baada ya hapo Harmonize atajifunza na kutorudia tena makosa yake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live