Menu ›
Burudani
Wed, 28 Sep 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa Bongo Fleva Baba Levo ambaye pia ni chawa wa msanii Diamond Platnumz, amesema kuwa atahakikisha kuwa Diamond anamuoa Zuchu kwa namna yoyote ile.
Baba leo amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram ikiwa ni miezi kadhaa sasa imepita tangu Diamond aanze kutajwa kuwa anatoka kimapenzi na Zuchu.
"Nitahakikisha Diamond Platnumz anamuoa Zuchu, hakuna mambo ya mchezo mchezo hapa…!???????????? hii ni atake asitake atamuoa…!" amesema Fundi Majumba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live