Menu ›
Burudani
Thu, 26 May 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kutoka kwenye mtandao wa kijamii wa Msanii Baba Levo ameonyesha kuchoshwa na kuwa chawa wa msanii na mmiliki wa rekodi lebo ya WCB, Diamond Platnumz.
Kutoka kwenye mtandao wa kijamii wa Msanii Baba Levo ameonyesha kuchoshwa na kuwa chawa wa msanii na mmiliki wa rekodi lebo ya WCB, Diamond Platnumz. Babalevo ameandika; "Tafadhali boss nimechoka kuwa chawa...!! Nibadilishe cheo boss wangu," amesema Baba Levo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live