Menu ›
Burudani
Sat, 17 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Chawa Pro Max, Baba Levo amesema kumlinganisha Diamond na Nandy ni kosa kubwa ambalo watu wanaweza kulifanya.
Amesema ngoma ya Nandy ya Daah kufika namba moja trending huku ya Diamond ikiwa haijafika sio kigezo cha kusema wanalingana.
"Nandy hajafika hata levo za Zuchu hivyo kumlinganisha na Diamond ni kumkosea heshima boss Diamond," alisema Baba Levo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live