Menu ›
Burudani
Thu, 6 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa Bongo Fleva na chawa wa CEO wa WCB, Diamond Platnumz, Baba Levo ameibuka na madai kuwa mtangazaji wa Clouds Media, Burton Mwemba maarufu kama ‘Mwijaku’ amefukuzwa kazi ya uchawa na CEO wa Konde Gang, Harmonize.
Aidha, Baba Levo amemtaka Mwijaku amng'ang'anie Diamond ili kazi na aweze kuishi vizuri mjini; “Kina Mwijaku wamefukuzwa hawatakiwi tena,” amesema Baba Levo.
Hata hivyo katika wimbo mpya wa Harmonize ametaja wakina Mwijaku na kusema hawahitaji, huenda hiyo ndio sababu Baba Levo anaamini kuwa wamefukuzwa kweli.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live