Menu ›
Burudani
Mon, 27 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Siku za hivi karibuni zilitoka taarifa kuwa CEO wa WCB, Diamond Platnumz yupo kwenye mpango wa kununua ndege yake na ilitakiwa iwe imefika lakini mpaka sasa kulikuw ana ukimya.
Baba Levo ameeleza kuwa ni kweli na Ndege ya Diamond Platnumz ikitarajiwa iwe imefika lakani taratibu zinaendelea za kuhakikisha Ndege inafika.
"Kuna uchunguzi inabidi ufanyike, kuna watalaam wetu wanatakiwa waende kule wakaikague ndio maana nasema zimechelewa kidogo," alisema Baba Levo.
Pia amesema kuwa Diamond Platnumz hanunui ndege binafsi tu bali na Helikopta ipo njiani inakuja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live