Menu ›
Burudani
Thu, 7 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtangazaji na Msanii wa Muziki Baba Levo amewashtumu mastaa wa muziki Lulu Diva na Nandy kuwa wamecopy wimbo wa Zuchu, Honey.
Siku ya jana Mastaa Lulu diva na Nandy waliachia ngoma yao inayoitwa Mtaalamu ambayo imeandaliwa na Producer LG huku ngoma ya Zuchu Honey ikiwa imeandaliwa na Producer huyo huyo LG.
Kupitia ukurasa wa Instagram wa #Babalevo ameandika....
"MMEKOPY JAMANI, WAMAMA WATU WAZIMA MLOKOSA AIBU…!!"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live