Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Baada ya kuachana na Diamond, msanii wa Kenya ajitosa kwa Zari

3646 26295945 833282876863514 7132124397116063744 N TZW

Mon, 26 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki wa Injili kutoka nchini Kenya, Ringtone Apoko ameweka wasi mipango yake ya kutoka kuwa katika mahusiano na Zari The Boss Lady.



Maamuzi ya msanii huyo yanakuja ikiwa ni siku kadhaa zimepita tangu Zari kutangaza kuachana na Diamond. Kupitia mtandao wa Instagram Ringtone Apoko ameeleza kuwa Diamond hawezi kumuhudumia Zari kwani mrembo huyo anamuhitaji mtu kama yeye.

“Zari Hassan needs a man to lead her to church and to Christ. Diamond can’t offer such. Naomba namba yake Zari inbox me asap if you have it. MWANAMME NI YULE ANAJUA YESU NA MALI ANAYO NA WAKO WENGI HAPA KENYA. By the way wakisii hawananga shida bibi akija na watoto” ameandika.

Chanzo: bongo5.com