Menu ›
Burudani
Tue, 11 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kila mtu kwnye maisha yake amechagua kuwa vile ambavyo yeye anataka. Mtangazaji na msanii wa Bongo Fleva, Baba Levo, ameamua kuwa chawa wa Diamond na kumwagia sifa kama zote.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Baba Leveo ameibuka na kauli yake mpya ya kuzidi kudhihirisha uchwawa wake.
"BILA @diamondplatnumz NINGEKUWA KIJIJINI NALIMA MAWESE ...!!! Wazazi wangu Walifariki 1999 ???????? KWANGU MIMI BAADA YA MUNGU NI Diamond Platnumz."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live