Menu ›
Burudani
Mon, 12 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Kundi la muziki kutoka nchini Kenya, Sauti Sol wameingia studio na rapper Khaligraph Jones.
Aliyetoa taarifa kuhusu ujio wa kazi yao ni Khaligraph Jones. Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram ameandika;
I Just found out that am taller than the SautiKhaligraph Jones ni miongoni mwa wasanii ambao kwa sasa wanafanya kolabo nyingi sana nchini Kenya na Afrika Mashariki kwa ujumla. Sauti Sol kwa sasa wanafanya vizuri na wimbo wao Girl Next Door walimshirikia Tiwa Savage kutoka Nigeria.Sol Boyz, but @itsmefancyfingers is trying, @bienaimesol cant even see me , @savarafrica and @iamchimano are not even in this Race.. We cooking something though, Hope y’all Ready..
Chanzo: bongo5.com