Menu ›
Burudani
Thu, 28 Dec 2017
Chanzo: bongo5.com
Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limekanusha taarifa iliyotolewa na waandaaji wa shindano la Miss Tanzania ya LINO Agency, kwamba Baraza hilo ni moja ya chanzo cha kukwamisha shindano hilo kufanyika.
Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limekanusha taarifa iliyotolewa na waandaaji wa shindano la Miss Tanzania ya LINO Agency, kwamba Baraza hilo ni moja ya chanzo cha kukwamisha shindano hilo kufanyika.
Chanzo: bongo5.com