Menu ›
Burudani
Mon, 28 May 2018
Chanzo: bongo5.com
Mtangazaji wa kipindi cha XXL cha Clouds FM, B Dozen amefunguka kwa kueleza dalili mbaya ambazo ameziona kwenye muziki wa BongoFleva. Dozen amedai muziki wa BongoFleva kwa sasa unapotezwa na kiki nyingi za wasanii huku akidai wakenya wameanza kuja juu kwa kasi kwenye soko la muziki.
Loading...
Chanzo: bongo5.com