Menu ›
Burudani
Tue, 23 Jan 2018
Chanzo: millardayo.com
Muigizaji kutoka Bongo Movie Aunty Ezekiel amechukua headlines katika mitandao ya kijamii baada ya kupost caption ambayo imeacha maswali kwa baadhi ya mashabiki kupitia ukurasa wake wa instagram na wengi kutafsiri hueda akawa kwenye migogoro na baba mtoto wake Mose Iyobo.
“Sina kawaida ya kuweka Maisha yangu kwenye Mitandao ila huku tunakoendea
Chanzo: millardayo.com