Menu ›
Burudani
Fri, 29 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Warembo wanaodaiwa kuwa na bifu Aunt Ezekiel na Ruby wamekutana uso kwa uso kwenye bethidei ya muigizaji Wema Sepetu iliyofanyika usiku wa kuamkia leo Septemba 29, 2023.
Waandishi waliokuwepo kwenye halfa hiyo, walimchukua Ruby na kumpeleka alipokuwa amekaa Aunt na kumtaka amsalimie.
"Hatuna neno sisi mnataka tusalimiane vipi wakati tushasalimiana? Mnataka tusalimiane kwa sababu ya kamera?" alisema Ruby.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live