Wakati Taifa likiwa kwenye majonzi ya kuondokewa na Aliyekuwa Rais wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa, ambaye amezikwa July 29,2020 huko kwao Lupaso Mtwara, Msanii Ferooz na Roma Mkatoliki wameingia studio na kurecord wimbo huu unaoitwa ‘Nalia’ ambao tayari wameuachia na kukuwekea Youtube, unaweza kuusikiliza hapa chini.
Wakati Taifa likiwa kwenye majonzi ya kuondokewa na Aliyekuwa Rais wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa, ambaye amezikwa July 29,2020 huko kwao Lupaso Mtwara, Msanii Ferooz na Roma Mkatoliki wameingia studio na kurecord wimbo huu unaoitwa ‘Nalia’ ambao tayari wameuachia na kukuwekea Youtube, unaweza kuusikiliza hapa chini. Bonyeza PLAY kuusikiliza.