Mwaka 1967 Bondia Muhammad Ali Alivuliwa Taji Lake la Uzito wa Juu Aliloshinda na Kuhukumiwa Kifungo cha Miaka 5 Jela Kisa tu Alikataa Kulitumikia Jeshi la US Katika Vita vya Vietnam (1955-1975) Alisema: “Kwa nini nipigane nao? Hawajawahi kunifanyia ubaya wowote, na wala hawajawahi kuniita mchafu.”
Mwaka 1967 Bondia Muhammad Ali Alivuliwa Taji Lake la Uzito wa Juu Aliloshinda na Kuhukumiwa Kifungo cha Miaka 5 Jela Kisa tu Alikataa Kulitumikia Jeshi la US Katika Vita vya Vietnam (1955-1975) Alisema: “Kwa nini nipigane nao? Hawajawahi kunifanyia ubaya wowote, na wala hawajawahi kuniita mchafu.”