Menu ›
Burudani
Thu, 25 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii Aslay Isihaka amesema aliandika waraka mtandaoni unaomuhusu mama yake ambaye alifariki dunia mwaka mmoja uliopita baada ya kuona kuna baadhi ya vitu anavikosa huku akidai kuna maadui ambao wamepanga kumshusha hivyo kama mama yake angekuwepo angemshauri mambo kadhaa kuhusu maisha yake.
Msanii Aslay Isihaka amesema aliandika waraka mtandaoni unaomuhusu mama yake ambaye alifariki dunia mwaka mmoja uliopita baada ya kuona kuna baadhi ya vitu anavikosa huku akidai kuna maadui ambao wamepanga kumshusha hivyo kama mama yake angekuwepo angemshauri mambo kadhaa kuhusu maisha yake.
Chanzo: bongo5.com