Menu ›
Burudani
Thu, 25 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki, Aslay Isihaka amefunguka kuzungumzia tetesi ambazo zilisambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba ameiba daftari la nyimbo la Yamoto Band. Muimbaji huyo amesema hakuna kitu kama hicho huku akidai baadhi ya mashabiki katika mitandao ya kijamii ndio walioanzisha kitu hicho.
Msanii wa muziki, Aslay Isihaka amefunguka kuzungumzia tetesi ambazo zilisambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba ameiba daftari la nyimbo la Yamoto Band. Muimbaji huyo amesema hakuna kitu kama hicho huku akidai baadhi ya mashabiki katika mitandao ya kijamii ndio walioanzisha kitu hicho.
Chanzo: bongo5.com